Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I'm in disbelief' - England's Penge rivals McIlroy for Race to Dubai after
ban
-
English golfer Marco Penge says he is "in disbelief" as he prepares to tee
off the DP World Tour's penultimate tournament with a chance of winning the
Race...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment