Kiungo chipukizi wa England, Jadon Sancho wa Borussia Dortmund (kushoto) akimtoka mshambuliaji wa Borussia Monchengladbach, Thorgan Hazard jana katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Borussia Dortmund ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Sancho dakika ya 42 na Marco Reus dakika ya 54, wakati la Monchengladbach lilifungwa na Christoph Kramer dakika ya 45 na ushei. Kwa ushindi huo, Dortmund wanaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi tisa zaidi, 42 kwa 33 dhidi ya Monchengladbach PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment