Mohamed Salah akishangilia na Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Molineux, West Midlands. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 68 na kwa ushindi huo timu ya kocha Jurgen Klopp inafikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi 18, ikiendelea kuongoza ligi kwa pointi nne zaidi ya Manchester City wenye pointi 44 za mechi 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment