Mohamed Salah akishangilia na Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Molineux, West Midlands. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 68 na kwa ushindi huo timu ya kocha Jurgen Klopp inafikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi 18, ikiendelea kuongoza ligi kwa pointi nne zaidi ya Manchester City wenye pointi 44 za mechi 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predictor picks: Find out who our expert is backing this weekend... and
play the game with £1,000 up for grabs
-
Predictor is our simple, free-to-play competition where you can win big
cash prizes, with £1,000 up for grabs weekly. Guess the winner of six
Premier Leagu...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment