Wilfried Ndidi wa Leicester City akiuwahi mpira dhidi ya Kevin De Bruyne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power mjini Leicester. Leicester City ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Marc Albrighton dakika ya 19 na Ricardo Pereira dakika ya 81, wakati la Man City lilifungwa na Bernardo Silva dakika ya 14 na baada ya kipigo hicho cha pili mfululizo na cha tatu jumla cha msimu, sasa kikosi cha kocha Pep Guardiola kinazidiwa pointi sita na vinara, Liverpool (49-44) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
COSEYL commends Tinubu over Nnanna Kalu’s appointment to NASC
-
From Stanley Uzoaru, Owerri The Coalition of South East Youth Leaders
(COSEYL) has expressed gratitude to President Bola Ahmed Tinubu for
appointing Nnan...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment