Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes wipes out cameraman with pass Travis Kelce failed to catch
in Chiefs' loss to Bills
-
An errant throw from Patrick Mahomes during Sunday's loss to the Buffalo
Bills bounced into a cameraman squatting in the end zone, and the result
was under...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment