Gabriel Jesus akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 22 na 50 mara zote akipasiwa na  Leroy Sane katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Everton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 69, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 65 na sasa timu ya kocha Pep Guardiola inafikisha pointi 44 katika mechi ya 17 ikiwazidi pointi mbili Liverpool walio nafasi ya pili wakiwa wamecheza mechi 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Nextf...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment