Makamu wa kwanza wa rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Athumani Jumanne Nyamlani akikabidhi fedha za malipo ya fomu ya kugombea urais wa shirikisho hilo, katika uchaguzi utakaofanyika Februari 24, mwaka huu mjini Dar es Salaam. Anayepokea kushoto ni Ofisa wa TFF, Jonathan Aloyce Kakwaya. |
Ex-Wales, Burnley and Swansea winger James dies aged 71
-
Leighton James, the former Burnley Swansea and Wales winger, dies at the
age of 71.
51 minutes ago