• HABARI MPYA

    Saturday, May 04, 2013

    MAYWEATHER ULINGONI LEO KATIKA PAMBANO LA KWANZA TANGU ATOKE JELA


    BAADA ya mwaka mmoja nje ya ulingo na miezi miwili jela, bondia bora kabisa duniani, Mmarekani Floyd Mayweather anarejea ulingoni usiku wa leo kwenye ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas.
    Pambano lake la mwisho alipigana na Miguel Cotto na kushinda na leo atapambana na Robert Guerrero, ambaye mwenyewe anajiita The Ghost, yaani Mzimu katika uzito wa Welter Raundi 12. 
    Fighting shape: Floyd Mayweather weighed in one pound under the welterweight limit at 146lbs
    Yuko sawa: Floyd Mayweather alionekana yuko sawa wakati wa kupimzika uzito 
    The challenger: Southpaw Robert Guerrero is the underdog
    Face off: The two fighters are to meet at the MGM Grand in Las Vegas
    Utaona: Mabondia hao wakitambiana wakati wa kupima uzito
    Entourage: As usual, many others surrounding the two fighters
    Hunitishi: Mabondia wakitunishiana vifua wakati wa kupima uzito
     
    Pambano la Mayweather na Guerrero litaonyeshwa live na BoxNation kupitia Sky Channel 437 na Virgin Channel 546 kuanzia saa 7.30 usiku wa leo sawa na saa 9:30 kwa saa za Tanzania.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAYWEATHER ULINGONI LEO KATIKA PAMBANO LA KWANZA TANGU ATOKE JELA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top