• HABARI MPYA

    Sunday, August 18, 2013

    MOURINHO AANZA VYEMA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAUA 2-0

    IMEWEKWA AGOSTI 18, 2013 SAA 2:35 USIKU
    KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amesherehekea kurejea kwake Stamford Bridge kwa kuanza na ushindi wa mabao 2-0 katika Ligi Kuu ya England dhidi ya timu iliyopanda daraja msimu huu, Hull.
    Kiasi cha miaka sita tangu aachane The Blues, kocha huyo maarufu kama Special One alifurahia mapokenzi mazuri na mchezo mzuri wa timu yake akirejea nyumbani.
    Haikuwa kazi rahisi kwa Chelsea kushinda, baada ya mkwaju wa penalti wa Frank Lampard dakika ya sita kuokolewa na Allan McGregor na sheria ya teknolojia kwenye mstari wa goli ikachukua nafasi yake wakati kipa huyo wa Scotland alipookoa mpira wa kichwa wa Branislav Ivanovic na kudhaniwa ni bao dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza, ikisahihisha si bao.
    Pamoja na hayo, Chelsea ilipata mabao yake yote kipindi cha kwanza kupitia kwa Oscar dakika ya 13 na Lampard dakika ya 25.
    Kikosi cha Chelsea leo kilikuwa: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Lampard, Ramires, De Bruyne/Schurrle dk67, Oscar/van Ginkel dk85, Hazard, Torres na Lukaku dk75.
    Hull City: McGregor, Elmohamady, Chester, Davies, Figueroa, Brady, Meyler/Huddlestone dk59, Koren, Sagbo, Graham/Livermore dk59 na Aluko/Boyd dk79.
    He's back: Jose Mourinho blows kisses to the Stamford Bridge crowd on his return
    Amerudi: Jose Mourinho akiuonyesha ishara ya busu umati Uwanja wa Stamford Bridge katika kurejea kwake
    Comfortable: Oscar set Chelsea going in the 13th minute and there was no way back for Hull from there
    Shwari kabisa: Oscar akishangilia na Torres baada ya kufunga
    Easy does it: Oscar celebrates scoring the opening goal
    Rahisi namna hii: Oscar akishangilia
    Caught in two minds: Allan McGregor tried to punch a bouncing ball and caught Fernando Torres instead
    Allan McGregor akijaribu kupangua dhidi ya Fernando Torres
    Missed: Frank Lampard saw his penalty saved by McGregor
    Anakosa: Frank Lampard alishuhudia mkwaju wake wa penalti ukiokolewa na McGregor
    Not to be deterred: Lampard thundered in a free kick shortly after the penalty miss
    Anasahihisha makosa: Lampard alisahihisha makosa yake kwa kufunga kwa mpira wa adhabu muda mfupi baada ya kukosa penalti
    Lampard
    Seven passes and in: Chelsea moved quickly to pull Hull apart before Oscar scored
    Pasi saba: Chelsea ilifanya shambulizi la haraka kuibomoa ngome ya Hull kabla ya Oscar kufunga
    Stopped: McGregor parried away Branislav Ivanovic's header
    Amezuia: McGregor akizuia mpira wa kichwa wa Branislav Ivanovic
    No goal: GDS said Branislav Ivanovic's header didn't cross the line
    Si bao: GDS imesema mpira wa Ivanovic haukuvuka mstari
    Joyous: Fans took to their craft sets again but this time to mark Mourinho's return, not to disapprove of board decisions
    Furaha: Mashabiki Chelsea wakionyesha kumuunga mkono Mourinho
    Special
    Mourinho
    Shepherd: John Terry was rarely threatened by Hull's new signing Yannick Sagbo
    John Terry alisumbuliwa mno na mchezaji mpya wa Hull, Yannick Sagbo
    New man: Kevin De Bruyne impressed on debut for the Blues
    Kifaa kipya: Kevin De Bruyne alivutia akianza kazi The Blues
    Bright: Torres looked sharp as he lead the Chelsea line
    Torres akipambana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOURINHO AANZA VYEMA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAUA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top