![]() |
| Gaudence Mwaikimba alikuwa mwiba leo |
![]() |
| Azam FC wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Gaudence Mwaikimba |
![]() |
| Jabir Aziz wa Azam akigombea mpira wa juu na mchezaji wa Rhino |
![]() |
| Kipa wa Rhino, Abdulkarim Mtumwa akimkabili mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche |
![]() |
| Nurdin Bakari wa Rhino akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Azam |
![]() |
| Khamis Mcha 'Vialli' wa Azam FC akimgeuza beki wa Rhino |
![]() |
| Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Rhino |
![]() |
| Erasto Nyoni leo alicheza vizuri |
![]() |
| Gaudence Mwaikimba aling'ara leo |
![]() |
| Jabir Aziz nyuma ya mchezaji wa Rhino |
![]() |
| Beki wa Rhino 'akiosha' mbele ya Kipre Tchetche |
![]() |
| Mashabiki wa Azam waliosafiri kutoka Dar es Salaam kuja kuisapoti timu leo Tabora |
![]() |
| 11 wa Azam walioanza leo |
![]() |
| Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui, Rashid Mussa Ntimizi akisalimiana na Gaudence Mwaikimba |
![]() |
| Benchi la Ufundi la Azam, kutoka kushoto ni kocha Mkuu, Stewart Hall na wasaidizi wake, Kali Ongala, Ibrahim Shikanda na Iddi Abubakar |


















.png)