// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
      Monday, April 07, 2025
      DODOMA JIJI ILIVYOITANDIKA KENGOLD 3-0 JANA UWANJA WA JAMHURI

      DODOMA JIJI ILIVYOITANDIKA KENGOLD 3-0 JANA UWANJA WA JAMHURI

      WENYEJI, Dodoma Jiji jana waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Jamhur...
      Sunday, April 06, 2025
      SINGIDA BLACK STARS YAIKANDA AZAM FC 1-0 UWANJA WA LITI

      SINGIDA BLACK STARS YAIKANDA AZAM FC 1-0 UWANJA WA LITI

      WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uw...
      TANZANIA PRISONS YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SOKOINE

      TANZANIA PRISONS YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0 SOKOINE

      WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo ...
      Saturday, April 05, 2025
      MASHUJAA YAIKUNG’UTA FOUNTAIN GATE 3-0 KIGOMA

      MASHUJAA YAIKUNG’UTA FOUNTAIN GATE 3-0 KIGOMA

      WENYEJI, Mashujaa FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa L...
      PAMBA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 KIRUMBA

      PAMBA JIJI YAICHAPA TABORA UNITED 1-0 KIRUMBA

      WENYEJI, Pamba Jiji wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM ...
      Thursday, April 03, 2025
      KAGERA SUGAR YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 KAITABA

      KAGERA SUGAR YAICHAPA COASTAL UNION 2-1 KAITABA

      WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
      AZAM FC YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-0 SOKOINE

      AZAM FC YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-0 SOKOINE

      TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Soko...
      JKT TANZANIA NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE, SARE 2-2 MBWENI

      JKT TANZANIA NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE, SARE 2-2 MBWENI

      WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
      Wednesday, April 02, 2025
      SIMBA SC YACHAPWA MABAO 2-0 NA AL MASRY

      SIMBA SC YACHAPWA MABAO 2-0 NA AL MASRY

      TIMU ya Simba SC imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Al Masry katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa N...
      SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 MANYARA

      SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 MANYARA

      TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Ba...
      KMC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-2 MWENGE

      KMC YAICHAPA TANZANIA PRISONS 3-2 MWENGE

      WENYEJI, KMC wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Halmas...
      YANGA YAWAADABISHA TABORA UNITED, YAWACHAPA 3-0 MWINYI

      YANGA YAWAADABISHA TABORA UNITED, YAWACHAPA 3-0 MWINYI

      MABINGWA watetezi, Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara le...
      PAMBA JIJI YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KIRUMBA

      PAMBA JIJI YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KIRUMBA

      WENYEJI, Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa C...
      Sunday, March 30, 2025
      Saturday, March 29, 2025
      MABINGWA WATETEZI, YANGA NAO WATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      MABINGWA WATETEZI, YANGA NAO WATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      MABINGWA watetezi, Yanga wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya...
      Friday, March 28, 2025
      KAGERA SUGAR YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      KAGERA SUGAR YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      TIMU ya Kagera Sugar imefanikiwa kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Ben...
      Thursday, March 27, 2025
      Wednesday, March 26, 2025
      STAND UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      STAND UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA CRDB

      TIMU ya Stand United imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB...
      TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA MOROCCO KIFUZU KOMBE LA DUNIA

      TAIFA STARS YACHAPWA 2-0 NA MOROCCO KIFUZU KOMBE LA DUNIA

      TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania usiku wa kuamkia leo imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Morocco katika mchezo wa Kundi E kufuzu Fainali za Ko...

      HABARI ZA AFRIKA

      HABARI ZA KIMATAIFA

      NDONDI

      MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

      MAKALA