• HABARI MPYA

    Sunday, August 12, 2012

    BIG JOSHUA ATWAA MEDALI YA DHAHABU NDONDI ZA UZITO WA JUU OLIMPIKI


    BONDIA wa Uingereza, Anthony Joshua ametwaa Medali ya Dhahabu ya ndondi za uzito wa juu, kwa kumpiga Roberto Cammarelle katika fainali mida hii.
    Bondia huyo mzoefu wa Italia na bingwa mtetezi wa Olimpiki  - aliongoza raundi ya kwanza kwa 6-5, lakini Joshua akammaliza Cammarelle katika randi mbili zilizofuata kwa pointi 13-10. 
    Walimaliza kwa pointi 18-18 baada ya raundi tatu, lakini Joshua akapewa ushindi baada ya kurudia hesabu. Italia wanataka rufaa dhidi ya uamuzi huo.
    Countback king: Anthony Joshua is awarded the win
    Anthony Joshua akipewa ushindi
    Golden boy: Joshua celebrates his victory
    Joshua akishangilia ushindi wake
    Gripping encounter: Joshua (left) in action against Cammarelle
    Joshua (kushoto) akizipiga na Cammarelle
    Leader: Cammarelle was ahead after two rounds
    Cammarelle aliongoza raundi mbili
    Up against it: Joshua had to fight hard to scrape victory
    Joshua alilazimika kupambana kiume ili kushinda
    Power: The fighters were evenly matched
    UBABE: Pambano lilikuwa kali

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BIG JOSHUA ATWAA MEDALI YA DHAHABU NDONDI ZA UZITO WA JUU OLIMPIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top