Kiungo
Ramadhan Suleiman Chombo ‘Redondo’ leo amesajiliwa Simba SC, akitokea Azam FC
katika mkataba ambao bado haujaeleweka, lakini habari za uhakika kutoka kwa Wekundu
hao wa Msimbazi zimeithibitishia BIN ZUBEIRY hivyo. Kiungo huyo aliyejiunga
na Azam mwaka 2009, akitokea Simba anakuwa mchezaji wa pili ndani ya kipindi kisichozidi
siku tano kutua Msimbazi, akitokea Azam, baada ya Jumatano iliyopita, Mrisho
Ngassa pia kusajiliwa na timu hiyo akitokea Chamazil. BIN ZUBEIRY bado inafuatilia
kwa kina kujua aina ya mkataba ambao Redoindo wa Keko Magurumbasi amesaini na Simba.
Nathan Lyon reveals Travis Head's stunning five-word prediction just before
the century that saved the Ashes Test for Australia
-
Nathan Lyon has revealed the sensational moment Travis Head stuck his hand
up to open for Australia during their second innings in Perth.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment