• HABARI MPYA

    Tuesday, September 04, 2012

    ULI, SAMATTA WANAVYOPASHA MAZEMBE

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Ulimwengu kulia akiwa mazoezini na klabu yake, TP Mazembe mjini Lubumbashi, DRC. Nyuma kabisa wa pili kutoka kulia ni Mtanzania mwenzake, Mbwana Samatta. Uli ameanza kucheza kikosi cha kwanza cha mabingwa hao mara nne Afrika na hivi sasa yuko vizuri mno kimchezo. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ULI, SAMATTA WANAVYOPASHA MAZEMBE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top