![]() |
| John Bocco 'Adebayor' wa Azam akiwatgoka mabeki wa B.Y.C. |
![]() |
| Beki wa B.Y.C., Carleo Anderson akiwa amelala kuondosha mpira miguuni mwa Kipre Tchetche |
![]() |
| John Bocco akipambana |
![]() |
| Humphrey Mieno akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa B.Y.C. |
![]() |
| Kipre Tchetche akiambaa na mpira mbele ya mabeki wa B.Y.C. |
![]() |
| Kikosi cha B.Y.C. leo |
![]() |
| Wazee wa VIP; Juu katikati ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geofffrey Nyange 'Kaburu' |
![]() |
| Kikosi cha Azam leo |
![]() |
| Kipa wa B.Y.C., Winston Sayouh akiwapigia makofi mashabiki wa Yanga kuwashukuru kwa kuishangilia timu yake |
![]() |
| Sayouh mbele ya mashabiki wa Yanga |
![]() |
| John Bocco akimtoka mchezaji wa B.Y.C. Abraham Andrews |
![]() |
| Kipa wa B.Y.C. Winston Sayouh akidaka mbele ya wachezaji wa Azam |
![]() |
| Kipre Tchetche akijiandaa kumgeuza beki wa B.Y.C. |
![]() |
| Abdi Kassim 'Babbi' akipasua |
![]() |
| Hatari kwenye lango la B.Y.C. |
![]() |
| Khamis Mcha 'Vialli' akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa B.Y.C. |
![]() |
| Kipre Balou akisikitika baada ya kukosa bao la wazi |
![]() |
| Kipa Winston Sayouh akidaka mbele ya wachezaji wa Azam |





















.png)