DIARRA NA AUCHO BAADA YA MALI KUICHAPA UGANDA 1-0 JANA BAMAKO
KIPA wa Mali, Djigui Diarra (kushoto) na kiungo wa Uganda, Khalid Aucho ambao wote ni wachezaji wa klabu ya Yanga baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa jana Uwanja wa Machi 26 Jijini Bamako nchini Mali ambayo wenyeji walishinda 1-0.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment