MAREFA WA MECHI ZA SIMBA DHIDI YA PRISONS NA SINGIDA WAFUNGIWA
MAREFA waliochezesha mechi za Simba SC za ugenini dhidi ya Tanzania Prisons Jijini Mbeya na Singida Big Stars mkoani Singida wameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mizunguko mitano kutokana maamuzi yao mabovu.
0 comments:
Post a Comment