Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakichangamkia juisi baada ya kuwasili katika hotel ya G&G Jijini Mwanza jana. (Picha zote na George Ramadhan |
Golikipa na Nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja akijifua na kipa mwenzake wa Taifa Stars, Deogratius Munisi (Dida) kwenye uwanja wa CCM Kirumba katika matayarisho ya mchezo wao na Harambee ya kenya |
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akimpa maelekezo Mbwana Samatta wakati wa mazoezi ya timu hiyo juzi kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.katika mazoezi |
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akitoa maelekezo kwa wachezaji John Boko (kulia) na Amri Kiemba wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza |