Mshambuliaji
wa Somalia, Ali Ahmed Ali akichuana na beki wa Sudan, Faris Abdallah katika
mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker
Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda. Sudan ilishinda 1-0, bao pekee la Farid Mohamed.
Kiungo wa Sudan,
Sadam Abdutalib akijaribu kuwatoka mabeki wa Somalia katika mchezo wa Kundi B,
Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa
Mandela, Namboole, Kampala, Uganda. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana
na kwa matokeo hayo zinaendeleakushika nafasi mbili za chini kwenye Kundi hilo.