// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, November 18, 2012

        SERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA

        Kipa wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, ya Kongo Brazzaville, Ombandza Mpea Joe akilalama baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Mufathir Yahya Abbas kutinga nyavuni na kuwapa wenyeji ushindi wa 1-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo.

        Bao pekee leo

        Kipa wa Kongo akining'inia kwenye milingoti ya lango baada ya kuukosa mpira uliopaa juu ya lango lake

        Mchezaji wa Serengeti, Suleiman Hamisi Bofu akipiga mpira kichwa mbele ya beki wa Kongo, Ondongo Boungena

        Beki Okombi Francis wa Kongo akiokoa mbele ya Joseph Kimwaga 

        Wachezaji wa Kongo wakimdhibiti mchezaji wa Serengeti

        Hussein Twaha 'Messi' akiwafunga tela wachezaji wa Kongo

        Makocha wa Serengeti Jacob Michelsen na Msaidizi wake Jamhuri Kihwelo wakiwapa maelekezo vijana wao wakati mpira uliposimama kwa muda

        Kipa wa Serengeti Boys, Peter Manyika akiruka hewani kupangua mchomo mkali ulioelekezwa langoni mwake 

        Kipa wa Kongo, akimdondokea kiungo wa Serengeti, Farid Mussa Shah kudaka mpira, huku beki wake, Ondongo Boungena akiwa tayari kumsaidia 

        Farid kulia na Ondongo kushoto

        Kikosi cha vijeba wa Kongo Brazzaville

        Beki Ismail Adam Gambo wa Serengeti akimdhibiti Ibara Vinny wa Kongo Brazzazille

        Hussein Twaha akiwatoka wachezaji wa Kongo

        Serengeti wakishangilia bao lao kwa staili ya aina yake

        11 wa kwanza wa Serengeti leo

        Wachezaji wa Serengeti Boys wakiimba wimbo wa taifa

        Benchi la Ufundi la Serengeti Boys wakati wa wimbo wa taifa

        Hussein Twaha akipasua katikati ya msitu wa wachezaji wa Kongo

        Hussein Twaha akimiliki mpira mbele ya beki wa Kongo

        Joseph Kimwaga akimtoka beki wa Kongo Brazzaville


        Beki wa Kongo Okombi Francis baada ya kumpitia kwanja Tumaini Baraka Mosha wa Serengeti
        Mudathir akiondoka na mpira

        Tumaini Baraka Mosha akimtoka Okombi

        Kushoto refa anasema twende, huku Tumaini Baraka Mosha akiwania mpira dhidi ya Ondongo

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments
        Item Reviewed: SERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry