// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESERENGETI BOYS NA KONGO KATIKA PICHA LEO TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Kipa wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, ya Kongo Brazzaville, Ombandza Mpea Joe akilalama baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Mufathir Yahya Abbas kutinga nyavuni na kuwapa wenyeji ushindi wa 1-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo.
Bao pekee leo
Kipa wa Kongo akining'inia kwenye milingoti ya lango baada ya kuukosa mpira uliopaa juu ya lango lake
Mchezaji wa Serengeti, Suleiman Hamisi Bofu akipiga mpira kichwa mbele ya beki wa Kongo, Ondongo Boungena
Beki Okombi Francis wa Kongo akiokoa mbele ya Joseph Kimwaga
Wachezaji wa Kongo wakimdhibiti mchezaji wa Serengeti
Hussein Twaha 'Messi' akiwafunga tela wachezaji wa Kongo
Makocha wa Serengeti Jacob Michelsen na Msaidizi wake Jamhuri Kihwelo wakiwapa maelekezo vijana wao wakati mpira uliposimama kwa muda
Kipa wa Serengeti Boys, Peter Manyika akiruka hewani kupangua mchomo mkali ulioelekezwa langoni mwake
Kipa wa Kongo, akimdondokea kiungo wa Serengeti, Farid Mussa Shah kudaka mpira, huku beki wake, Ondongo Boungena akiwa tayari kumsaidia
Farid kulia na Ondongo kushoto
Kikosi cha vijeba wa Kongo Brazzaville
Beki Ismail Adam Gambo wa Serengeti akimdhibiti Ibara Vinny wa Kongo Brazzazille
Hussein Twaha akiwatoka wachezaji wa Kongo
Serengeti wakishangilia bao lao kwa staili ya aina yake
11 wa kwanza wa Serengeti leo
Wachezaji wa Serengeti Boys wakiimba wimbo wa taifa
Benchi la Ufundi la Serengeti Boys wakati wa wimbo wa taifa
Hussein Twaha akipasua katikati ya msitu wa wachezaji wa Kongo
Hussein Twaha akimiliki mpira mbele ya beki wa Kongo
Joseph Kimwaga akimtoka beki wa Kongo Brazzaville
Beki wa Kongo Okombi Francis baada ya kumpitia kwanja Tumaini Baraka Mosha wa Serengeti
Mudathir akiondoka na mpira
Tumaini Baraka Mosha akimtoka Okombi
Kushoto refa anasema twende, huku Tumaini Baraka Mosha akiwania mpira dhidi ya Ondongo
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...