Arjen Robben
KIFAA cha Bayern Munich, Arjen Robben amewaahidi mashabiki atakuwa tayari kucheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea Jumamosi.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Uholanzi amekuwa akitiliwa shaka kucheza mechi hiyo, baada ya kukosa sehemu mbili zilizopita za mazoezi ya klabu hiyo kutokana na baridi kali.
"Niliathiriwa na baridi kali," Robben alisema akihojiwa na Sport-Informations-Dienst. "Ilibidi niwe makini ili nisipoteze nguvu zangu.kama nisingekuwa na homa ya kiwango cha nyuzi 40 au 41, ningekuwa uwanjani."
Mapema Alhamisi ya leo, Robben alisema kwamba Bayern ina uwezo wa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa, ambalo haijalitwaa tangu mwaka 2001.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Uholanzi amekuwa akitiliwa shaka kucheza mechi hiyo, baada ya kukosa sehemu mbili zilizopita za mazoezi ya klabu hiyo kutokana na baridi kali.
"Niliathiriwa na baridi kali," Robben alisema akihojiwa na Sport-Informations-Dienst. "Ilibidi niwe makini ili nisipoteze nguvu zangu.kama nisingekuwa na homa ya kiwango cha nyuzi 40 au 41, ningekuwa uwanjani."
Mapema Alhamisi ya leo, Robben alisema kwamba Bayern ina uwezo wa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa, ambalo haijalitwaa tangu mwaka 2001.
0 comments:
Post a Comment