LABU ya Arsenal inatarajiwa kusafiri na kikosi chake cha kwanza hadi Nigeria mwanzoni mwa msimu ujao, kucheza mechi za kirafiki zxa kujiandaa na msimu mpya mjini Abuja Jumapili ya Agosti 5.
Hiyo itakuwa mara ya kwanza Washika Bunduki wa London kucheza katika ardhi ya Nigeria, timu ya Arsene Wenger itacheza kwenye Uwanja wa kuchukua mashabiki 60,000, Abuja National Stadium.
Mara ya mwisho klabu hiyo kuzuru Afrika ilikuwa ni katika ziara ya Afrika Kusini Julai mwaka 1993.
Kabla ya ziara ya Nigeria, Arsenal itaanzia China na Malaysia mwezi Julai, kufuatia mafanikio ya ziara mwaka jana bara la Asia.
Ikiwa Asia, Arsenal itacheza mechi nne mjini Kuala Lumpur, dhidi ya kombaini ya Malaysia Jumanne ya Julai 24 kabla ya kwenda China, kucheza na Manchester City mjini Beijing Ijumaa ya Julai 27, ikifuiatiwa na safari ya Hong Kong for watakapocheza na Kitchee FC Jumapili ya Julai 29.
Taarifa zaidi kuhusu ziara ya Nigeria zitapatikana baadaye hapa hapa BIN ZUBEIRY kutoka Arsenal.com mara tu zitakaposhuka.
Hiyo itakuwa mara ya kwanza Washika Bunduki wa London kucheza katika ardhi ya Nigeria, timu ya Arsene Wenger itacheza kwenye Uwanja wa kuchukua mashabiki 60,000, Abuja National Stadium.
Mara ya mwisho klabu hiyo kuzuru Afrika ilikuwa ni katika ziara ya Afrika Kusini Julai mwaka 1993.
Kabla ya ziara ya Nigeria, Arsenal itaanzia China na Malaysia mwezi Julai, kufuatia mafanikio ya ziara mwaka jana bara la Asia.
Ikiwa Asia, Arsenal itacheza mechi nne mjini Kuala Lumpur, dhidi ya kombaini ya Malaysia Jumanne ya Julai 24 kabla ya kwenda China, kucheza na Manchester City mjini Beijing Ijumaa ya Julai 27, ikifuiatiwa na safari ya Hong Kong for watakapocheza na Kitchee FC Jumapili ya Julai 29.
Taarifa zaidi kuhusu ziara ya Nigeria zitapatikana baadaye hapa hapa BIN ZUBEIRY kutoka Arsenal.com mara tu zitakaposhuka.
0 comments:
Post a Comment