• HABARI MPYA

    Saturday, May 05, 2012

    CHELSEA BAADA YA KUCHINJA JOGOO NA KUTWAA NDOO YA FA WEMBLEY



      John Terry Of Chelsea And His
    Getty Images
    2012-05-05
    Nahodha John Terry wa Chelsea akishangilia na wachezaji wenzake ushindi wa Kombe la FA, baada ya kuifunga 2-1 kwenye Uwanja wa Wembley jioni hii.

    Chelsea's Ivorian Striker Didier Drogba (2nd L) Celebrates Scoring His Goal With Team-mates
    Getty Images
    2012-05-05
    Didier Drogba (wa pili kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake bao lake katika ushindi wa 2-1 katika fainali ya Kombe la FA dhidi ya Liverpool uliowapa Kombe hilo Uwanja wa Wembley, London, England jioni hii.
    Liverpool's Andrew Carroll Celebrates
    Andy Carroll wa Liverpool akishangilia bao la kufutia machozi wake timu yake ikifungwa 2-1 na Chelsea katika fainali ya Kombe Uwanja wa Wembley, London, England jioni hii.

      Didier Drogba Of Chelsea Celebrates
    Getty Images
    2012-05-05
    Drogba akishangilia bao lake la ushindi wa 2-1 katika fainali ya Kombe la FA dhidi ya Liverpool uliowapa Kombe hilo Uwanja wa Wembley, London, England jioni hii.
    Chelsea's Italian Manager Roberto Di Matteo Celebrates Their 2-1 Win At The Final Whistle Of The FA Cup Final Football
    Getty Images
    2012-05-05
    Kocha wa Chelsea, Mtaliano Roberto Di Matteo akishangilia ushindi wa 2-1 katika fainali ya Kombe la FA dhidi ya Liverpool uliowapa Kombe hilo Uwanja wa Wembley, London, England jioni hii.

      Didier Drogba Of Chelsea Celebrates
    Getty Images
    2012-05-05
    King Didier Yves 'Tito' Drogba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA BAADA YA KUCHINJA JOGOO NA KUTWAA NDOO YA FA WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top