KLABU ya Chelsea imetwaa Kombe la FA hivi punde tu, kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuifunga mabao 2-1 Liverpool.
Shukrani kwao, Ramires na Didier Drogba walioifungia mabao hayo Uwanja wa Wembley  jioni hii, wakijiandaa kuwa mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich, Ujerumani.
Ramires alifunga bao la kwanza baada ya makosa ya Jay Spearing kabla ya Drogba kufunga la pili na Andy Carroll aliyetokea benchi kuifungia Liverpool la kufutia machozi kwa kutumia makosa ya John Terry.
Lakini Liverpool ni kama walinyimwa bao la kusawazisha na refa baada ya mpira uliopigwa na Carroll kuonekana kabisa umevuka mstari wa goli, lakini refa akachomoa.


VIKOSI, KADI (3) & WALIOINGIA (4)

Chelsea

  • 01 Cech
  • 02 Ivanovic
  • 03 Cole
  • 17 Bosingwa
  • 26 Terry
  • 07 Ramires (Meireles - 76' )
  • 08 Lampard
  • 12 Mikel Booked
  • 10 Mata (Malouda - 90' )
  • 11 Drogba
  • 21 Kalou

BENCHI

  • 22 Turnbull
  • 19 Ferreira
  • 05 Essien
  • 15 Malouda
  • 16 Meireles
  • 09 Torres
  • 23 Sturridge

Liverpool

  • 25 Reina
  • 02 Johnson
  • 03 Jose Enrique
  • 05 Agger Booked
  • 37 Skrtel
  • 08 Gerrard
  • 14 Henderson
  • 19 Downing
  • 20 Spearing (Carroll - 55' )
  • 07 Suarez Booked
  • 39 Bellamy (Kuyt - 78' )

BENCHI

  • 32 Doni
  • 23 Carragher
  • 34 Kelly
  • 11 Maxi
  • 33 Shelvey
  • 09 Carroll
  • 18 Kuyt
Refa: Dowd
Mahudhurio: 89,102

TAKWIMU ZA MECHI


Possession55%45%97minsChelseaLiverpool

Shots

1418

On target

610

Corners

17

Fouls

58