• HABARI MPYA

    Saturday, May 05, 2012

    MAPAMBANO YOOOOTE YA WATANI WA JADI, SIMBA NA YANGA KABLA YA PAMBANO LA KESHO


    Sterling wa mechi iliyopita ya watani wa jadi, Davies Mwape

    WAKATI kesho Mei 6, 2012- ndio linafanyika pambano la marudiano katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baina ya watani wa jadi katika soka Tanzania, BIN ZUBEIRY inakukumbusha mechi zote za mashindano zilizowahi kuzikutanisha Simba na Yanga matokeo yalikuwaje.
    Yanga mwaka 1990, wa tano kutoka kulia Said Sued 'Scud'

    MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA ZA WATANI WA JADI LIGI KUU;
    JUNI 7, 1965
    Yanga v Sunderland (Simba)
    1-0
    MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

    JUNI 3,  1966
    Yanga v Sunderland (Simba)
    3-2
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, Andrew Tematema dk 67, Emmanuel Makaidi dk. 83. Sunderland: Mustafa Choteka dk 24, Haji Lesso dk. 86.

    NOVEMBA 26, 1966
    Sunderland v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

    MACHI 30, 1968
    Yanga v Sunderland
    1-0
    MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

    JUNI 1, 1968
    Yanga v Sunderland
    5-0
    WAFUNGAJI:
    Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.

    MACHI 3, 1969
    Yanga v Sunderland
    (Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

    JUNI 4, 1972
    Yanga v Sunderland
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Kitwana Manara dk. 19,
    Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

    JUNI 18, 1972
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Leonard Chitete.

    JUNI 23,  1973
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

    AGOSTI 10, 1974
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Gibson Sembuli dk. 87, Sunday Manara dk. 97.
    Simba: Adam Sabu dk. 16.
    (Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

    JULAI 19, 1977
    Simba v Yanga
    6-0
    WAFUNGAJI:
    Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.

    OKTOBA 7, 1979
    Simba v Yanga
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Nico Njohole dk. 3, Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38, Abbas Dilunga dk.72. Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

    OKTOBA 4, 1980
    Simba v Yanga
    3-0
    WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29, Thuwein Ally dk. 82, Nico Njohole dk. 83.

    SEPTEMBA 5, 1981
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

    APRILI 29, 1982
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.

    SEPTEMBA 18, 1982
    Yanga 3-0 Simba
    WAFUNGAJI:
    Omar Hussein dk. 2 na 85, Makumbi Juma dk. 62.

    FEBRUARI 10, 1983
    Yanga v Simba.
    0-0

    APRILI 16, 1983
    Yanga v Simba
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Charles Mkwasa dk. 21, Makumbi Juma dk. 38, Omar Hussein dk. 84, Simba; Kihwelu Mussa dk. 14.

    SEPTEMBA 10, 1983,
    Yanga v Simba
    2-0
    WAFUNGAJI: Lila Shomari alijifunga dk. 72, Ahmed Amasha dk. 89.

    SEPTEMBA 25, 1983
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Makumbi Juma dk. 75,
    Simba: Sunday Juma dk. 72.

    MACHI 10, 1984
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Omar Hussein dk. 72.
    Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.

    JULAI 14, 1984
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abeid Mziba dk. 39.
    Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

    MEI 19, 1985
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Omar Hussein dk. 6
    Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

    AGOSTI 10, 1985
    Yanga v Simba
    2-0

    MACHI 15, 1986
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abeid Mziba dk. 44
    Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

    AGOSTI 23, 1986
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Edward Chumila dk. 9, Malota Soma dk. 51
    Yanga: Omar Hussein dk. 5.

    JUNI 27, 1987
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

    AGOSTI 15, 1987
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

    APRILI 30, 1988
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Justin Mtekere dk. 28
    Simba: Edward Chumila dk. 25.

    JULAI 23, 1988
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Edward Chumila 21, John Makelele dk. 58
    Yanga: Issa Athumani dk. 36.

    JANUARI 28, 1989
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Issa Athumani dk. 4, Abeid Mziba dk. 85
    Simba: Malota Soma dk. 30.

    MEI 21, 1989
    Yanga v Simba
    0-0

    MEI 26, 1990
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

    OKTOBA 20, 1990
    Yanga v Simba
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Makumbi Juma dk 33, Thomas Kipese dk. 82, Sanifu Lazaro dk. 89
    Simba: Edward Chumila dk. 58.

    MEI 18, 1991
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk.  7.

    AGOSTI 31, 1991
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued Scud.

    OKTOBA 9, 1991
    Yanga v Simba
    2-0
    WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3, Abubakar Salum 'Sure Boy' dk. 54.

    NOVEMBA 13, 1991
    Yanga v Simba
    2-0

    APRILI 12, 1992
    Yanga 1-0 Simba
    MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.

    SEPTEMBA 26, 1992
    Simba v Yanga
    2-0

    OKTOBA 27, 1992
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.

    MACHI 27, 1993
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57
    Simba: Edward Chumila dk. 75.

    JULAI 17, 1993
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

    SEPTEMBA 26, 1993
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

    NOVEMBA 6, 1993
    Simba v Yanga
    0-0

    FEBRUARI 26, 1994
    Yanga v Simba
    2-0
    MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

    JULAI 2, 1994
    Simba v Yanga
    4-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.

    NOVEMBA 2, 1994
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

    NOVEMBA 21, 1994
    Simba v Yanga
    2-0
    WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18, Madaraka Selemani dk. 42.

    MACHI 18, 1995
    Simba v Yanga
    0-0

    OKTOBA 4, 1995
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Mchunga Bakari dk. 79,
    Yanga: Mohamed Hussein ÔMmachingaŐ dk. 40.

    FEBRUARI 25, 1996
    Yanga v Simba
    2-0

    SEPTEMBA 21, 1996
    Yanga v Simba
    0-0

    OKTOBA 23, 1996
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

    NOVEMBA 9, 1996
    Yanga v Simba
    4-4
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Mustafa Hozza alijifunga dk 64, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Sanifu Lazaro dk. 75.
    Simba: Thomas Kipese dk. 7, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    APRILI 26, 1997
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16
    Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

    AGOSTI 31, 1997
    Yanga v Simba
    0-0

    OKTOBA 11, 1997
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52
    Simba: George Masatu dk. 89
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

    NOVEMBA 8, 1997
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma)

    FEBRUARI 21, 1998
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Akida Makunda dk. 46
    Simba: Athumani Machepe dk. 88

    JUNI 7, 1998
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28
    Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

    MEI 1, 1999
    Yanga v Simba
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idd Moshi dk. 59, Kalimangonga Ongala dk. 64, Salvatory Edward dk. 70, Simba: Juma Amir dk. 12.

    AGOSTI 29, 1999
    Yanga v Simba
    2-0
    WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

    JUNI 25, 2000
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72
    Yanga: Idd Moshi dk. 4.

    AGOSTI 5, 2000
    Yanga v Simba
    2-0
    MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

    SEPTEMBA 1, 2001
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

    SEPTEMBA 30, 2001
    Simba v Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Joseph Kaniki dk. 65,
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

    AGOSTI 18, 2002
    Simba v Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Madaraka Selemani 65
    Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

    NOVEMBA 10, 2002
    Simba v Yanga
    0-0

    SEPTEMBA 28, 2003

    Simba v Yanga
    2-2
    WAFUNGAJI:
    Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36
    Yanga: Kudra Omary dk. 42, Heri Morris dk. 55

    NOVEMBA 2, 2003
    Simba v Yanga
    0-0

    AGOSTI 7, 2004
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Shaaban Kisiga dk. 64, Ulimboka Mwakingwe dk. 76
    Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

    SEPTEMBA 18, 2004
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

    APRILI 17,  2005
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Nurdin Msiga dk. 44, Athumani Machupa dk. 64,
    Yanga: Aaron Nyanda dk. 39
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    AGOSTI 21, 2005
    Simba v Yanga
    2-0
    MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    MACHI 26, 2006
    Simba v Yanga.
    0-0

    OKTOBA 29, 2006
    Simba v Yanga
    0-0

    JULAI 8, 2007
    Simba v Yanga
    1-1 (dakika 120)
    WAFUNGAJI:
    Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)
    Yanga: Said Maulid (dk. 55).
    (Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    OKTOBA 24, 2007:
    Simba Vs Yanga
    1-0
    Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    APRILI 27, 2008:
    Simba Vs Yanga
    0-0

    OKT 26, 2008
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15.
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI  19, 2009
    Simba Vs Yanga
    2-2
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, Haruna Moshi dk 62
    YANGA: Ben Mwalala dk48, Jerry Tegete dk90
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
    (Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

    OKTOBA 31, 2009
    Simba Vs Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI 18, 2010
    Simba Vs Yanga
    4-3
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+ 
    YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89

    OKTOBA 16, 2010:
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70

    MACHI 5, 2011
    Simba Vs Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59.
    SIMBA:  Mussa Mgosi dk 73.
    (Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja).

    OKTOBA 29, 2011
    Yanga 1-0 Simba
    MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75


    MEI 6, 2012
    Simba 5-0 Yanga
    WAFUMNGAJI:
    Emmanuel Okwi dk 1 na 65, Patrick Mafisango pen dk 58, Juma Kaseja pen dk 69 na Felix Sunzu pen dk 74


    MECHI ZA WATANI WA JADI NJE YA LIGI KUU
    Mussa Mgosi kushoto wa Simba enzi hizo, sasa yuko Motema Pembe ya DRC akichanja mbuga dhidi ya wachezaji wa Yanga, Nadir Cannavaro kulia

    KLABU BINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI:
    JULAI 10, 2011
    Yanga 1-0 Simbam, Fainali
    MFUNGAJI : Kenneth Asamoah dk 108

    JANUARI 1975
    Yanga Vs Simba; Fainali, 2-0
    WAFUNGAJI: Gibson Sembuli na Sunday Manara

    JANUARI 1992
    Simba Vs Yanga; Fainali
    1-1, Simba ilishinda kwa penalti 5-4

    JULAI 27, 2008
    Simba Vs Yanga; Mshindi wa Tatu
    (Yanga haikutokea uwanjani, Simba ikapewa ushindi wa chee)

    KOMBE LA HEDEX:
    JUNI 30, 1996
    Yanga Vs Simba 2-0
    CCM Kirumba, Mwanza
    WAFUNGAJI: Bakari Malima na Edibily Lunyamila

    KOMBE LA HEDEX:
    JULAI 13, 1996
    Simba Vs Yanga 1-1, Taifa, Dsm
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Hussein Amaan Marsha kwa penalti
    YANGA: Bakari Juma Malima

    KOMBE LA TUSKER:
    FEBRUARI 10, 2001
    Yanga Vs Simba (fainali) 0-0
    (Simba ilishinda kwa penalti 5-4, Uwanja wa Taifa)

    MACHI 31, 2002.
    Simba Vs Yanga 4-1
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Mark Sirengo dk. 3 na 76, Madaraka Selemani dk. 32 na Emanuel Gabriel dk. 83.
    YANGA: Sekilojo Chambua dk 16.
    (Mechi hii ya fainali iliyohudhuriwa na rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, chupuchupu ivunjike dakika ya 32, baada ya Madaraka kufunga bao ambalo kabla ya kufumua shuti lililomshinda kipa Manyika Peter, aliushika mpira kwa makusudi, ili kuuweka sawa. Rais wa Yanga wakati huo, Tarimba Abbas aliinuka na kuwaonyesha ishara wachezaji wake watoke uwanjani na hapo ndipo meza kuu aliyokuwa ameketi mzee Mwinyi, ilipoanza kushambuliwa kwa chupa za maji na mashabiki wa Yanga. Mwamuzi wa mchezo huo, Abdulkadir Omar alisubiri hadi vurugu zilipotulizwa na FFU ndipo akaendeleza mchezo. Tarimba alitoka nje na hakutaka kuendelea kushuhudia mchezo huo. Baada ya hapo, alifungiwa na Chama cha Soka Tanzania, FAT).

    JULAI 2, 2005
    CCM Kirumba, Mwanza. Fainali
    Simba Vs Yanga, 2-0
    WAFUNGAJI: Emmanuel Gabriel dk. 60, Mussa Hassan Mgosi dk. 72

    AGOSTI 15, 2006
    Simba Vs Yanga; Nusu Fainali, 1-1
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Emanuel Gabriel dk. 69
    YANGA: Credo Mwaipopo 90
    (Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 7-6)

    DESEMBA 25, 2009
    Yanga Vs Simba; Nusu Fainali, 2-1
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Jerry Tegete dk 67, Shamte Ally dk 120
    SIMBA: Hillary Echesa dk 78 (penalti)
    (Uwanja wa mpya wa Taifa)

    KOMBE LA MAPINDUZI:
    JANUARI 12, 2011
    Simba Vs Yanga; Fainali 2-0
    WAFUNGAJI: Mussa Mgosi dk 33, Shijja Mkinna dk 71
    (Uwanja wa Amaan, Zanzibar)

    KOMBE LA AICC:
    JUNI 1989
    Yanga Vs Simba SC 1-0
    MFUNGAJI: Joseph Machella

    APRILI 20, 2003,
    CCM Kirumba, Mwanza
    Yanga Vs Simba 3-0
    WAFUNGAJI:
    Kudra Omary dk. 30, Heri Morris dk 32 na Salum Athumani dk. 47

    JANUARI 19, 2003, Kombe la CCM
    Simba Vs Yanga 1-1, Dsm
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Jumanne Tondolo dk. 10
    YANGA: Mwinyi Rajabu dk. 20

    NGAO YA JAMII:
    FEBRUARI 17, 2001
    Yangs Vs Simba 2-1, Dsm
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Edibilly Lunyamila dk. 47, AllyYussuf 'Tigana' dk 80.
    SIMBA: Steven Mapunda 'Garrincha' dk.43

    AGOSTI 18, 2010
    Yanga vs Simba 0-0
    (Yanga ilishinda kwa penalti 3-1)
    WAFUNGAJI: Geoffrey Bonny, Stefano Mwasyika na Isaac Boakye kwa upande wa Yanga na Mohamed Banka kwa Simba.
    WALIOKOSA: Ernest Boakye kwa Yanga na Emanuel Okwi, Uhuru Suleiman na Juma Nyosso kwa Simba.

    AGOSTI 17, 2011
    Simba vs Yanga 2-0, Dar
    WAFUNGAJI:
    Haruna Moshi ‘Boban’ dk 15 na Felix Sunzu dk 38.

    NOVEMBA 15, 2000
    KOMBE LA FAT
    Yanga Vs Simba 2-1
    Sheikh Amri Abeid, Arusha.
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Aziz Hunter 40 na Vincent Tendwa
    SIMBA: Ally Yussuf 'Tigana' dk.37

    NOVEMBA 12,  2000
    MARUDIANO KOMBE LA FAT
    Simba Vs Yanga 1-0, Dsm
    MFUNGAJI:
    SIMBA: Ben Luoga  dk.44       
    (Matokeo ya jumla yakawa 2-2 na Yanga ikatolewa kwa mikwaju ya penalti 5-4).

    Zamoyoni Mogella kulia akitafuta mbinu za kumtoka Yussuf Ismail Bana katika mechi ya Simba na Yanga miaka ya 1980, nyuma yao ni Muhiddin Cheupe.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAPAMBANO YOOOOTE YA WATANI WA JADI, SIMBA NA YANGA KABLA YA PAMBANO LA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top