• HABARI MPYA

    Friday, May 11, 2012

    GUARDIOLA: SINA MPANGO WA KUFUNDISHA TENA


    Pep Guardiola - Barcelona
    Pep Guardiola - Barcelona
    KOCHA wa Barcelona, Pep Guardiola amethibitisha kwamba atapumzika kwa mwaka mmoja bila kufanya kazi msimu ujao.
    Kocha huyo mwenye umri wa miaka 41, mwezi uliopita alitangaza Juni ataondoka Barca, baada ya kufanya kwa mafanikio kwenye klabu hiyo.
    "Nitapumzika kwa mwaka mmoja, kasha nitaona," aliwaambia Waandishi wa Habari katika mkutani. "Sina mpango wowote, hata mpango wa kufundisha tena.
    "Nitafanya kitu fulani, lakini hautaniona kiasi hicho."

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUARDIOLA: SINA MPANGO WA KUFUNDISHA TENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top