Na,Shakoor Jongo
‘ICON’ katika tasnia ya filamu Bongo, Irene Uwoya na mwenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni walimtafuta fundi na kwenda kulifanyia ukarabati kaburi la staa mwenzao marehemu Steven Kanumba.
‘ICON’ katika tasnia ya filamu Bongo, Irene Uwoya na mwenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni walimtafuta fundi na kwenda kulifanyia ukarabati kaburi la staa mwenzao marehemu Steven Kanumba.
Akizungumzia hilo, Steve Nyerere alisema:
“Ni kweli mimi na Irene tuliamua kulikarabati kaburi la Kanumba baada ya kusoma gazetini kwamba limeanza kutitia.
GAZETI LA IJUMAA
0 comments:
Post a Comment