![]() |
| Okwi leo alikaribia kuvunja rekodi ya hat-trick yas Kibadeni ya 1977. Wengi wanajiuliza penalti ya Mafisango kwa nini asipewe yeye akamaliza kazi? |
LIGI KUU
JULAI 19, 1977
Simba v Yanga
6-0
WAFUNGAJI:
Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne
Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
JULAI 2, 1994
Simba v Yanga
4-1
WAFUNGAJI:
Simba: George Masatu, Athumani China,
Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.
MEI 6, 2012
Simba v Yanga 5-0
WAFUNGAJI: Emmanuel Okwi dak 1 na 52, Felix Sunzu dk47, Juma Kaseja dk 66 na Patrick Mafisango dk 73.
KOMBE LA TUSKER:
MACHI 31, 2002.
Simba Vs Yanga 4-1
WAFUNGAJI:
SIMBA: Mark Sirengo dk. 3 na 76, Madaraka
Selemani dk. 32 na Emanuel Gabriel dk. 83.
YANGA: Sekilojo Chambua dk 16.
(Mechi hii ya fainali iliyohudhuriwa na
rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, chupuchupu ivunjike dakika ya 32, baada ya
Madaraka kufunga bao ambalo kabla ya kufumua shuti lililomshinda kipa Manyika
Peter, aliushika mpira kwa makusudi, ili kuuweka sawa. Rais wa Yanga wakati
huo, Tarimba Abbas aliinuka na kuwaonyesha ishara wachezaji wake watoke
uwanjani na hapo ndipo meza kuu aliyokuwa ameketi mzee Mwinyi, ilipoanza
kushambuliwa kwa chupa za maji na mashabiki wa Yanga. Mwamuzi wa mchezo huo,
Abdulkadir Omar alisubiri hadi vurugu zilipotulizwa na FFU ndipo akaendeleza
mchezo. Tarimba alitoka nje na hakutaka kuendelea kushuhudia mchezo huo. Baada
ya hapo, alifungiwa na Chama cha Soka Tanzania, FAT).



.png)
0 comments:
Post a Comment