• HABARI MPYA

    Saturday, August 04, 2012

    ITAKUWA MICHUANO BOMBA SANA...

    Ofisa Masoko wa Banc ABC, Evelyn Auguste (kulia), akimskiliza Msaidizi wake, Olympia Fraten alipokuwa akizungumzia michuano ya Banc ABC Super 8 inayotarajiwa kuanza kesho, katika viwanja vya Taifa, Dar es Salaam, Sheikh Amri Abeid wa Arusha, CCM Kirumba wa Mwanza na Amaan wa Zanzibar, katika pati ya utambulisho wa michuano hiyo, iliyofanyika jana usiku kwenye ukumbi wa City Sports Lounge, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ITAKUWA MICHUANO BOMBA SANA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top