• HABARI MPYA

    Monday, August 13, 2012

    LIVERPOOL YAUA 3-1, ANDY CARROLL AKIFUNGA BAO LA KUMTAHADHARISHA BRENDAN RODGERS


    MSHAMBULIAJI Andy Carroll amemkumbusha uwezo wake kocha Brendan Rodgers anayetaka kumuuza, baada ya kufanya mavituz katika mechi ya mwisho ya Liverpool ya kujiandaa na msimu mpya.
    Mshambuliaji huyo wa England, ambaye mustakabli wake umekuwa haueleweki katika dirisha hili la usajili, aliingia akitokea benchi kipindi cha pili na kutoa mchango mzuri akifunga bao kwa shuti la mita 20 dakika ya 66 na kuifanya Liverpool iongoze 3-0.
    Ingawa Sidney Sam alipunguza bao moja kwa Bayer Leverkusen, Liverpool haikuwa kwenye hatari yoyote katika siku ambayo Raheem Sterling alicheza na kufunga bao la kwanza kabla ya Lucas Leiva kufunga na pili.
    Still don't want me? Andy Carroll fired home the third goal
    Andy Carroll anafunga
    Home again: Sami Hyypia returned to Anfield as Bayer Leverkusen manager
    Nyumbani tena: Sami Hyypia amerejea Anfield kama kocha wa Bayer Leverkusen 
    Back in business: Lucas Leiva celebrates his strike
    Lucas Leiva akishangilia
    Young gun: Raheem Sterling opened the scoring
    Raheem Sterling akishangilia baada ya kufunga la kwanza
    Up and over: Carroll heads over the bar
    Carroll akipaa hewani kupiga kichwa kilichoota mbawa



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAUA 3-1, ANDY CARROLL AKIFUNGA BAO LA KUMTAHADHARISHA BRENDAN RODGERS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top