• HABARI MPYA

    Monday, August 13, 2012

    VAN PERSIE AKALIA BENCHI ARSENAL IKIUA 4-0


    NAHODHA Robin van Persie aliachwa nje ya kikosi na akapangwa mshambuliaji mpya wa Arsenal, Lukas Podolski hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa Mholanzi huyo kutochezeshwa kufuatia kuzidi kuenea kwa uvumi kwamba anaondoka. 
    The Gunners walikuwa wanacheza mechi ya mwisho ya kujiandaa na msimu mpya kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya England Jumamosi, na wakashinda 4-0 mabao mawili yakifungwa na mshambuliaji wa Kijerumani mwenye thamani ya pauni Milioni 11 na mengine yakifungwa na Thomas Vermaelen na Gervinho.
    Spot on: Lukas Podolski scored twice in his first Arsenal game, their final pre-season fixture
    Spot on: Lukas Podolski scored twice in his first Arsenal game, their final pre-season fixture
    Maybe I won't be missed: Robin van Persie only featured for 20 minutes as his new team-mate upstaged him
    Maybe I won't be missed: Robin van Persie only featured for 20 minutes as his new team-mate upstaged him
    Maybe I won't be missed: Robin van Persie only featured for 20 minutes as his new team-mate upstaged him
    Maybe I won't be missed: Robin van Persie only featured for 20 minutes as his new team-mate upstaged him
    Van Persie aliachwa benchi hadi dakika 20 za mwisho.
    head boy: Thomas Vermaelen, the man most likely to captain the side this season, also scored
    Thomas Vermaelen, anayepewa nafasi kubwa ya kuwa Nahodha mpya pia alifunga
    Pure delight: The comfortable win was the perfect end to the Gunners pre-season
    The Gunners wakishangilia moja ya mabao yao
    Welcome: Olivier Giroud, another summer signing was on show alongside Podolski
    Karibu: Olivier Giroud, mchezaji mwingine mpya alikuwepo pia pamoja na Podolski
    Workout: Some of those hoping to make a big impact for the first-team this year were on show

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk/sport

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VAN PERSIE AKALIA BENCHI ARSENAL IKIUA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top