• HABARI MPYA

    Monday, August 13, 2012

    SPURS YATAKA KUWAPIGA MABAO ARSENAL NJE YA UWANJA


    KLABU ya Tottenham inataka kuwapiga bao wapinzani wao, Arsenal katika kuiwahi saini ya kiungo wa Rennes, Yann M'Vila baada ya klabu yake ya Ufaransa, kuthibitisha wamepata ofa ya kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22.
    French fancy: Yann M'Vila and M'baye Niang could be on their way to Tottenham
    Yann M'Vila 
    French fancy: Yann M'Vila and M'baye Niang could be on their way to Tottenham
    M'baye Niang
    Tottenham pia wana matumaini ya kuwapiga bao Arsenal na AC Milan katika kuwania saini ya mshambuliaji wa Caen, M'Baye Niang, mwenye umri wa miaka 17, kwa ofa waliyotoa ya pauni Milioni 6.
    Na mapigo hayo yanakuja wakati Barcelona inatayarisha ofa ya pauni Milioni 11 kwa ajili ya kiungo Alex Song wiki hii. 
    Wakati huo huo, Nicklas Bendtner anahusishwa na mpango wa kuhamia AC Milan katika dili la kumbadili na Philippe Mexes.
     
    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SPURS YATAKA KUWAPIGA MABAO ARSENAL NJE YA UWANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top