• HABARI MPYA

    Sunday, August 12, 2012

    LUKE CAMPBELL ATWAA DHAHABU YA NDONDI UZITO WA BANTAM OLIMPIKI


    Luke Campbell ameing'arisha England katika ndondi, baada ya kushinda Medali ya Dhahabu katika uzito wa bantam kwenye ukumbi wa ExCeL Centre.
    Bondia huyo mwenye umri wa miaka 24 kutoka Jiji la Hull amempiga rafiki yake na mpinzani wake mkubwa kutoka, Ireland, John Joe Nevin, kwa pointi 14-11

    Golden boy: Luke Campbell

    Golden Boy: Luke Campbell
    On the attack: Luke Campbell (left) against Ireland's John Joe Nevin
    Kichapo: Luke Campbell (kushoto) akimchapa John Joe Nevin
    Joy and pain: Campbell celebrates but Nevin is distraught
    Furaha na maumivu: Campbell akishangilia, huku Nevin akilia

    Big hit: Campbell floors Nevin
    Kichapo kitakatifu: Campbell akidondoka sakafuni baada ya mkono wa kushoto wa nguvu
    Rivals: Campbell (right) and Nevin had a classic tear up
    Wapinzani: Campbell (kulia) na Nevin wakichapana


    WASIFU WA CAMPBELL:

    1987: Kuzaliwa Septemba 27 mjini Hull.
    2007: Alitwaa taji la ABA England.
    2008: Alitetea taji la ABA, alishinda taji la Ulaya Liverpool.
    2009: Alishinda Medali ya Shaba michuano ya Ulaya Denmark.
    2011: Alishinda Medali ya Fedha michuano ya dunia Azerbaijan. Alifuzu kucheza Olimpiki ya London.
    2012: Ameshinda Medali ya Dhahabu uzito wa Bantam Olimpiki ya London 2012, akimpiga John Joe Nevin wa Ireland kwa pointi 14-11 kwenye fainali.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKE CAMPBELL ATWAA DHAHABU YA NDONDI UZITO WA BANTAM OLIMPIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top