• HABARI MPYA

    Sunday, August 12, 2012

    NGORONGORO NJE AFRIKA

    TIMU ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes imetolewa rasmi katika mbio za kuwania kucheza Fainali za Afrika kwa vijana wenye umri huo zitakazofanyika nchini Algeria mwakani, baada ya kufungwa na wenyeji, Nigeria, Flying Eagles mabao 2-0, hivyo kuaga kwa kipigo cha jumla cha 4-1, baada ya awali kufungwa 2-1, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGORONGORO NJE AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top