Maugo |
BONDIA Mada
Maugo, anatarajiwa kupanda ulingoni kwenye ukumbi wa Triple A mjini Arusha Septemba 28, mwaka huu kuzipiga na Gavad Zohrenvad wa Iran, kuwania ubingwa wa WBO uzito wa Middle.
Maugo ameiambia
BIN
ZUBEIRY kwa sasa yupo kwenye
maandalizi makali kwenye pambano hilo na anawaahidi mashabiki wake atalibakisha
taji hilo nchini. Hilo litakuwa pambano la kwanza kwa Maugo, tangu apigwe kwa
Technical Knockout (TKO) raundi ya sita na Francis Cheka Aprili 4, mwaka huu.
Aidha, hilo
litakuwa pambano la 24 kwa Maugo, tangu aanze kucheza ngumi za kulipwa mwaka
2007, akianza na ushindi wa pointi dhidi ya Hussein Chiwa Mei 12, mwaka huo.
0 comments:
Post a Comment