• HABARI MPYA

    Thursday, January 17, 2013

    SIMBA YAPIGWA 1-0 OMAN

    Simba SC jana imefungwa 1-0 na timu ya taifa ya soka ya Oman chini ya umri wa miaka 23 katika mchezo wake wa  kwanza wa kirafiki katika ziara yake ya mafunzo nchini Oman. Simba ipo huko tangu wiki iliyopita ikiwa imeweka kambi mjini Muscat na itaendelea kujifua huko hadi mwishoni mwa mwezi. Taarifa hizi ni kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA YAPIGWA 1-0 OMAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top