• HABARI MPYA

    Saturday, April 13, 2013

    AKINA NDITI WAITANDIKA LIVERPOOL 2-0 NA KUBISHA HODI FAINALI KOMBE LA FA


    TIMU ya vijana chini ya umri wa miaka 18 ya Chelsea imejitengenezea mazingira ya kutinga fainali ya Kombe la FA la vijana England, baada ya jana kuichapa mabao 2-0 Liverpool .
    Chelsea yenye Mtanzania, Adam Nditi kikosini, ilipata mabao yake kupitia kwa Alex Kiwomya, mpwa wa mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Chris,aliyefunga katika dakika za 86 na 90 na sasa timu hizo zitarudiana Uwanja Stamford Bridge Ijumaa ijayo.
    On course: Alex Kiwomya celebrates his goal for Chelsea against Liverpool
    Mkali: Alex Kiwomya akishangilia mabao yake aliyoifungia Chelsea dhidi ya Liverpool jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AKINA NDITI WAITANDIKA LIVERPOOL 2-0 NA KUBISHA HODI FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top