• HABARI MPYA

    Tuesday, April 09, 2013

    VAN PERSIE AMALIZA SAA 12 BILA BAO MAN UNITED, SASA HATARINI KUKOSA TUZO ZA PFA NA FWA

    UKALI wake wa kufunga mabao ulikuwa chachu nzuri ya mbio za Manchester United, kuelekea kwenye taji la ubingwa wa Ligi Kuu England, kiasi cha wengi kumpa nafasi ya kuwa Mchezaji Bora wa msimu.
    Taji la Ligi Kuu dhahiri bado liko kwenye mwelekeo wa kutua Old Trafford, licha ya jana kufungwa na wapinzani wao,  Manchester City, lakini bado wana nafasi, tena kubwa ya kubeba ubingwa.
    Mabao ambayo yaliifanya United iwaache mbali wengine sasa yamekauka kwa Robin Van Persie, na anaanza kuelekea kuvaa viatu vile vile ambavyo vilipoteza makali ya Fernando Torres tangu atue Chelsea akitokea Liverpool.
    Nenda chini katazame video ya mabao ya Van Persie msimu huu
    Changed days: Robin Van Persie can't find the back of the net for love nor money after his blistering start
    Siku zimebadilika: Robin Van Persie amepoteza makali ya kufunga kwa sasa, baada ya mwanzo mzuri United
    Manchester United's Robin van Persie appears dejected

    TAREHE ZA KUTOLEWA TUZO HIZO

    PFA: Mchezaji Bora wa Mwaka- Jumapili, Aprili 28
    FWA: Mchezaji Bora wa Mwaka- Alhamisi, Mei 9
    Ukame wa mabao haujaisha kama ilivyokuwa kwa Torres kati ya Oktoba 2011 na Machi 2012, alishondwa kufunga bao hata moja ndani ya saa 25 na dakika 41.
    Van Persie naye sasa amemaliza saa 11 na dakika 24 uwanjani bila kufunga. 
    Kutoka na hali hiyo, kuna shaka kama mshambuliaji huyo wa Man United aliyenunuliwa kwa pauni Milioni 24 msimu huu kutoka Arsenal, atapigiwa kura za kutosha kubeba tuzo za Mchezaji Bora wa Mwaka wa PFA au FWA.
    Takwimu za Robin Van Persie msimu huu hadi sasa
    Robin Van Persie goals
    Stunning start: Van Persie was an instant hit at United as his goals fired them to the Premier League summit
    Mwanzo mzuri: Van Persie was an instant hit at United as his goals fired them to the Premier League summit
    Stunning start: Van Persie was an instant hit at United as his goals fired them to the Premier League summit
    Stunning start: Van Persie was an instant hit at United as his goals fired them to the Premier League summit
      VIDEO   Angalia mabao ya Van Persie msimu huu Man United

    In doubt: Van Persie was the leading contender for both the PFA (above) and FWA end-of-season awards
    Shakani: Van Persie alikuwa mshindani anayeongoza katika kinyang'anyiro cha tuzo zote PFA (juu) na FWA chini
    Award winner Arsenal's Robin Van Persie with Football Writers Association Chairman Steve Bates
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: VAN PERSIE AMALIZA SAA 12 BILA BAO MAN UNITED, SASA HATARINI KUKOSA TUZO ZA PFA NA FWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top