• HABARI MPYA

    Wednesday, May 08, 2013

    SIMBA SC ILIVYOONYESHA LEO KWAMBA INAWEZA KUENDEELZA UBABE KWA YANGA MEI 18


    MEI 8, 2013

    Bado Yanga; Mfungaji wa bao pekee la Simba SC katika ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Mgambo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC itamenyana na Yanga Mei 18, mwaka huu Uwanja huo huo.

    Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Mgambo

    Amri Kiemba akipambana na mchezaji wa Mgambo

    Hatari kwenye lango la Mgambo

    Amri Kiemba akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Mgambo

    Mtaalamu Kiemba...

    Haruna Shamte akiwa ameruka na kipa wa Mgambo, Godson Mmasi

    Pozi la kiafande; Kocha Mfaransa wa Simba SC, Patrick Liewig akiwa mbele ya wachezaji wake kama mlinzi wao

    Kikosi cha Mgambo leo

    Kikosi cha Simba leo

    Makocha Wasaidizi, James Kisaka, Moses Basena na Jamhuri Kihwelo

    Walipumzishwa wote hawa..kumsubiri Yanga Mei 18

    Messi na beki wa Mgambo

    Kwa raha zao mashabiki wa Simba

    Messi anajiandaa kupiga kona

    Nassor Masoud 'Chollo' na beki wa Mgambo

    Raha ya ushindi; Wachezaji wa SImba wakimpongeza Chanongo

    Chanongoooo....

    Chanongo akielekea kufunga bao la pekee...

    Messi noma bwanaaaa...

    Haruna Shamte anapambana...Edward Christopher kulia akiwa tayari kusaidia

    Messi akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Mgambo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOONYESHA LEO KWAMBA INAWEZA KUENDEELZA UBABE KWA YANGA MEI 18 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top