MOURINHO ASAINI BEKI LA KATI CHELSEA KINDA LA MIAKA 19 KUTOKA UFARANSA
KOCHA Jose Mourinho amekamilisha usajili wa Kurt Zouma kutoka klabu ya St-Etienne.
Chelsea imekubali kulipa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 12.5 kwa ajili ya beki huyo wa kati kinda wa umri wa miaka 19, ambaye atabakia Ufaransa kumalizia msimu.
+5
Kujiamini: Kurt Zouma amejiunga na Chelsea lakini atabakia St Etienne kumalizia msimu
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
0 comments:
Post a Comment