Kipa Shaaban Kado akiwaongoza wachezaji wenzake wa Coastal Union kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili kutoka Muscat, Oman walipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoanza keshokutwa.
Wananukia marashi ya Muscat
Coastal watacheza na JKT Oljoro Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
0 comments:
Post a Comment