KLABU ya Azam FC imetangaza kuachana na wachezaji wake wawili, kipa Ahmed Ali Suleiman ‘Salula’ na mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda. Hao wanaungana na kiungo Ibrahim Hajib Migomba aliyekuwa wa kwanza kutemwa dirisha hili dogo na tayari amejiunga na Singida Big Stars.
0 comments:
Post a Comment