• HABARI MPYA

    Wednesday, June 06, 2012

    BIN KLEB ARUDISHA FOMU YAKE NA MANJI JANGWANI

    ABDALLAH Ahmad Bin Kleb amerudisha fomu yake ya kugombea Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, lakini inadaiwa alikuwa ana fomu nyingine tatu, ambazo inadaiwa kuwa ni za Yussuf Manji kugombea Uenyekiti, Isaac Chanji, Makamu Mwenyekiti, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakhim Masu. Pichani Bin Kleb akikabidhi fomu hizo.



    Anaondoka

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BIN KLEB ARUDISHA FOMU YAKE NA MANJI JANGWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top