BREAKING NEWS; KELVIN YONDAN ATUA YANGA KWA MILIONI 30
Beki wa Simba, Kelvin Patrick Yondan amesaini Yanga kwa dau la Milioni 30,000 na atakuwa akilipwa mshahara wa Sh 800,00 kwa mwezi. BIN ZUBEIRY imefanikiwa kupata nakala ya fomu ya mkataba wa Yondan aliosaini Yanga. isome hapo chini.
0 comments:
Post a Comment