• HABARI MPYA

    Friday, November 16, 2012

    DINNER YA SERENGETI BOYS NDANI YA JB BELMONTE

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga akizungumza katika hafla ya chakula cha usiku kwa ajili ya kuichangia timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys usiku huu kwenye hoteli ya JB Belmonte, Dar es Salaam. Serengeti inatarajiwa kumenyana na Kongo Brazzaville Jumapili, kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika mwakani nchini Morocco.

    Katibu wa TFF, Angetile Osiah akizungumza katika hafla ya chakula cha usiku kwa ajili ya kuichangia timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys usiku huu kwenye hoteli ya JB Belmonte, Dar es Salaam.  
    Wachezaji na wadau

    Kutoka kulia Kocha Mkuu wa Serengeti Jacob Michelsen, Msaidizi wake, Jamhuri Kihwelo na Kamishna Msaidizi wa Polisi, Jamal Rwambow

    Nassor bin Slum akizungumza na mchezaji Hussein Twaha

    Kutoka kulia Abdallah Bin Kleb, Tenga, Bin Slum na Jaffar Iddi Maganga

    Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Serengeti Boys, Kassim Dewji akizungumza kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Tenga

    Angetile na wachezaji

    Wadau

    Mwenyekiti wa Kamati ya Vijana, Ahmad 'Msafiri' Mgoyi akiwa na mdau Seyoung Jeong kutoka Korea

    Salim Abdallah kulia akiwa na Bin Kleb na Beda Msimbe 

    Bin Slum

    Kushoto ni Nicky akiwa na Soyoung

    Salim akizungumza na CEO wa JB Belmonte, Justus Buguma kushoto
    Mwenyekiti wa Azam FC, Said Mohamed akizungumza kuwapa morali vijana 

    Mzee Said akisikiliza kwa makini maneno ya vijana

    Hussein Twaha akihutubia. hotuba yake ilisisimua sana. Kulia ni Nahodha, Miraj Adam

    Mohamed Hussein kushoto akiwa na Farid Mussa

    Bin Kleb na Salim

    Julio na Michelsen
    Hussein Twaha kulia na Peter Manyika 
    Julio alitoa hotuba iliyosisimua pia
    Evans Aveva kulia na Said Tuliy kushoto
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: DINNER YA SERENGETI BOYS NDANI YA JB BELMONTE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top