![]() |
Wachezaji na wadau |
![]() |
Kutoka kulia Kocha Mkuu wa Serengeti Jacob Michelsen, Msaidizi wake, Jamhuri Kihwelo na Kamishna Msaidizi wa Polisi, Jamal Rwambow |
![]() |
Nassor bin Slum akizungumza na mchezaji Hussein Twaha |
![]() |
Kutoka kulia Abdallah Bin Kleb, Tenga, Bin Slum na Jaffar Iddi Maganga |
![]() |
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Serengeti Boys, Kassim Dewji akizungumza kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Tenga |
![]() |
Angetile na wachezaji |
![]() |
Wadau |
![]() |
Mwenyekiti wa Kamati ya Vijana, Ahmad 'Msafiri' Mgoyi akiwa na mdau Seyoung Jeong kutoka Korea |
![]() |
Salim Abdallah kulia akiwa na Bin Kleb na Beda Msimbe |
![]() |
Bin Slum |
![]() |
Kushoto ni Nicky akiwa na Soyoung |
![]() |
Salim akizungumza na CEO wa JB Belmonte, Justus Buguma kushoto |
![]() |
Mwenyekiti wa Azam FC, Said Mohamed akizungumza kuwapa morali vijana |
![]() |
Mzee Said akisikiliza kwa makini maneno ya vijana |
![]() |
Hussein Twaha akihutubia. hotuba yake ilisisimua sana. Kulia ni Nahodha, Miraj Adam |
![]() |
Mohamed Hussein kushoto akiwa na Farid Mussa |
![]() |
Bin Kleb na Salim |
![]() |
Julio na Michelsen |
![]() |
Hussein Twaha kulia na Peter Manyika |
![]() |
Julio alitoa hotuba iliyosisimua pia |
![]() |
Evans Aveva kulia na Said Tuliy kushoto |