Kipa wa Yanga Veterans, Manyika Peter akichupa bila mafanikio kuokoa shuti la mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo wa Simba Veterans, Shekhan Rashid (hayupo pichani) katika mechi ya jana baina ya wakongwe hao, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. Mechi hiyo ilikuwa ya kuchangia waathirika wa milipuko ya mabomu Gongolamboto
Anthony Gordon has not scored or assisted for NINETEEN Premier League
games... but CRAIG HOPE reveals why Newcastle insiders are not worried, his
honest talks with Eddie Howe and the strange motivational technique the
England star will use
-
Gordon revealed in the summer that he needs something to go wrong to come
back stronger. 'I need to make it personal with myself,' he told me in
Seoul.
44 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment