Bondia wa Marekani, Floyd Mayweather (kushoto) na bingwa wa
WBA uzito wa Super Welter, Miguel Cotto wa Puerto Rico wakiwa wamepozi katika
Mkutano na Waandishi wa Habari, Grauman's Chinese Theatre huko Hollywood juzi.
Mayweather na Cotto watapigania taji la WBA, uzito wa Super Welter, Mei 5 kwenye
ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas.
Liverpool sign teenager Leoni from Parma for £26m
-
Liverpool sign centre-back Giovanni Leoni from Italian side Parma for £26m
on a deal until 2031.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment