KLABU ya Bayern Munich inaweza kuwa na Schweinsteigers msimu
ujao baada ya kaka wa mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani Bastian, kusaini
mkataba wa kujiunga na kikosi cha wachezaji wa akiba wa The Bavarians, klabu
hiyo imesema leo.Mshambuliaji Tobias Schweinsteiger, mwenye umri wa miaka 30, anatarajiwa
kuhama kutoka klabu ya Daraja la Tatu, Jahn Regensburg, ambako alikuwa Nahodha
na mfungaji bora wa timu kwa mabao yake 12 msimu huu. Bastian Schweinsteiger kwa sasa anasumbuliwa na maumivu ya
kifundo cha mguu na yuko nje kwa matibabu.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment