KLABU ya Bayern Munich inaweza kuwa na Schweinsteigers msimu
ujao baada ya kaka wa mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani Bastian, kusaini
mkataba wa kujiunga na kikosi cha wachezaji wa akiba wa The Bavarians, klabu
hiyo imesema leo.Mshambuliaji Tobias Schweinsteiger, mwenye umri wa miaka 30, anatarajiwa
kuhama kutoka klabu ya Daraja la Tatu, Jahn Regensburg, ambako alikuwa Nahodha
na mfungaji bora wa timu kwa mabao yake 12 msimu huu. Bastian Schweinsteiger kwa sasa anasumbuliwa na maumivu ya
kifundo cha mguu na yuko nje kwa matibabu.
Anthony Joshua’s fight in Nigeria pegged for 2026
-
Former world boxing heavyweight champion, Anthony Joshua’s career-long
dream to host a match in Nigeria is closer to reality as boxing promoter
Ezekiel A...
0 comments:
Post a Comment