![]() |
Simba msimu uliopita |
Na Prince Akbar
MABINGWA wa soka Tanzania, Simba SC jioni ya leo wanashuka
dimbani kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumenyana na mabingwa wa Uganda,
Express ‘Red Eagles’.
Ofisa Habari wa Simba SC, Ezekiel Kamwaga ‘Me Liverpool’
ameiambia BIN ZUBEIRY leo kwamba maandlizi ya mechi hiyo yamekamilika na amewataka
wapenzi wa Simba kumiminika wingi uwanjan kushuhudia nyota wao wapya.
Kamwaga amesema mshambuliaji wao, ambaye wapo mbioni kumuuza
Italia, Mganda Emmanuel Okwi naye atakuwapo joni.
kamwaga amesema katika mchezo wa leo, Simba itashusha kikosi chake kamili, tofauti na kile kilichotoka sare ya 1-1 katika mchezo wa awali na Tai Mwekundu wa Kampala wiki iliyopita mjini Mwanza.
Baada ya mechi hiyo, Simba
itavuka maji kwenda kwenye michuano ya Kombe la Ujirani Mwekma inayoandaliwa na
Chama cha Soka Zanzibar (ZFA).
kamwaga amesema katika mchezo wa leo, Simba itashusha kikosi chake kamili, tofauti na kile kilichotoka sare ya 1-1 katika mchezo wa awali na Tai Mwekundu wa Kampala wiki iliyopita mjini Mwanza.
0 comments:
Post a Comment