Kocha Hans van der Pluijm akimpa maelekezo mshambuliaji Mliberia wa Yanga SC, Kpah Sherman wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa sekondari ya Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Pluijm ameanza rasmi kazi jana baada ya kurejeshwa kuchukua nafasi ya Mbrazil, Marcio Maximo aliyefukuzwa mwanzoni mwa wiki.
Hapa Mholanzi huyo anazungumza na kiungo Mbrazil, Andrey Coutinho
Hapa anazungumza na kocha Msaidizi, Salvatory Edward
Borthwick excited by 'very, very powerful' Ilione
-
Emeka Ilione's ball-carrying ability has been praised by England coach
Steve Borthwick after Saracens number eight Tom Willis slipped out of Test
contention.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment